P.O. Box 346, Dodoma, Tanzania Sabato: 8:00 AM – 1:00 PM
Imani ya 18

Karama ya Unabii

18. Karama ya Unabii

Mojawapo ya karama za Roho Mtakatifu ni unabii. Karama hii ni alama – kitambulishi cha kanisa la masalio na ilidhihirishwa katika huduma ya Ellen G White. Kama mjumbe wa Bwana, maandishi yake ni chanzo kiendelezi na yenye mamlaka ya ukweli yanayolipatia kanisa faraja, uongozi, mafundisho, na maonyo. Pia yanaweka wazi kwamba Biblia ndiyo kanuni ambayo kwayo mafundisho yote na uzoefu lazima vipimwe

Mafungu ya Biblia

Yoeli 2:28, 29; Mdo. 2:14 – 21; Waebr. 1:1 – 3; Ufun. 12:17; 19:10