P.O. Box 346, Dodoma, Tanzania Sabato: 8:00 AM – 1:00 PM
Nyumbani / Mafundisho / Imani za Msingi

Imani za Msingi za Waadventista Wasabato

Karibu ujifunze imani 28 za msingi zinazofundishwa na Kanisa la Waadventista Wasabato, zikiwa zimejengwa juu ya Maandiko Matakatifu na ushuhuda wa Biblia.

Mafundisho ya Biblia

Orodha ya Imani za Msingi

Kila kipengele kina maelezo yake na mafungu ya Biblia yanayosaidia kuelewa msingi wa fundisho hilo.

Msingi wa Imani Yetu

Imani hizi hazikusudiwi kuchukua nafasi ya Biblia, bali zinaonyesha kwa muhtasari mafundisho ambayo Waadventista Wasabato wanayaamini kutokana na Maandiko Matakatifu.

28
Imani za Msingi zimeorodheshwa kwa ajili ya kujifunza
1

Maandiko Matakatifu

Maandiko Matakatifu yaani Agano la Kale na Jipya ndiyo neno la Mungu lililoandikwa likatolewa kwa uvuvio wa Mungu, kupitia kwa watu watakatifu wa Mungu walionena na kuandika kama walivyoong…

Soma zaidi
2

Utatu Mtakatifu

Kuna Mungu mmoja: Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu, umoja wa Nafsi tatu za milele. Mungu hapatikani na mauti, mwenye nguvu zote, ajuaye yote, zaidi ya yote, na aliyeko daima. Yeye hana mwisho…

Soma zaidi
3

Baba

Mungu Baba wa milele ndiye Muumbaji, chimbuko, Mtegemezaji, na Mfalme wa viumbe wote. Ni mwenye haki na Mtakatifu, mwingi wa rehema, mwenye fadhili, si mwepesi wa hsira, ni mwingi wa uthabi…

Soma zaidi
4

Mwana

Mungu Mwana wa milele alifanyika mwili katika Yesu Kristo. Kupitia kwake vitu vyote viliumbwa, tabia ya Mungu imefunuliwa, wokovu wa wanadamu unakamilishwa na ulimwengu unahukumiwa. Milele …

Soma zaidi
5

Roho Mtakatifu

Mungu Roho wa milele alikuwa mtendaji pamoja na Baba na Mwana katika uumbaji, kufanyika mwili, na katika ukombozi. Aliwavuvia waandishi wa Maandiko Matakatifu, alijaza maisha ya Kristo na u…

Soma zaidi
6

Uumbaji

Mungu ni Muumba wa vitu vyote, na amefunua katika Maandiko uhalisi wa tukio la shughuli zake za uumbaji. Katika siku sita Bwana alizifanya “mbingu na nchi” na vitu vyote vilivyo hai juu ya …

Soma zaidi
7

Asili ya Mwanadamu

Mwanamume na Mwanamke walifanywa kwa mfano wa Mungu wakiwa kila mmoja na nafsi yake, uwezo na uhuru wa kufikiri na kutenda. Ingawa waliumbwa viumbe huru, kila mmoja ni umoja wa nafsi isiyog…

Soma zaidi
8

Pambano Kuu

Jamii yote ya wanadamu sasa inahusika katika pambano kuu baina ya Kristo na Shetani kuhusu tabia ya Mungu, sheria yake, na utawala wake juu ya ulimwengu. Ugonvi huu ulianza mbinguni wakati …

Soma zaidi
9

Maisha, Mauti na Ufufuo wa Kristo

Katika maisha ya Kristo ya utii mkamilifu kwa mapenzi ya Mungu, mateso yake, mauti na ufufuo, Mungu alitoa njia pekee ya kafara kwa ajili ya dhambi ya mwanadamu, ili kwamba wale ambao kwa i…

Soma zaidi
10

Uzoefu na Wokovu

Katika upendo usio na mwisho na rehema zake Mungu alimfanya Kristo, asiyejua dhambi kuwa dhambi kwa ajili yetu, ili kwamba katika yeye tuweze kufanywa haki ya Mungu. Tukiongozwa na Roho Mta…

Soma zaidi
11

Kukua katika Kristo

Kwa kifo chake msalabani Yesu alizishinda nguvu za uovu. Yeye aliyewatiisha pepo wachafu wakati wa huduma yake hapa duniani amezivunja nguvu zao na kuthibitisha kuwa mwisho wao ni uangamivu…

Soma zaidi
12

Kanisa

Kanisa ni jamii ya waumini wanaimkiri Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozi wao. Katika kufungamana na watu wa Mungu katika nyakati za Agano la kale, tunaitwa kutoka katika ulimwengu; na tunaji…

Soma zaidi
13

Masalio na Utume Wake

Kanisa la ulimwengu linajumuisha wale wote ambao kwa kweli wanamwamini Kristo, lakini katika siku za mwisho, kipindi cha kuenea kwa ukengeufu, masalio wameitwa kuzishika amri za Mungu na im…

Soma zaidi
14

Umoja katika Mwili wa Kristo

Kanisa ni mwili mmoja ulio na washiriki wengi, walioitwa kutoka kila taifa, kabila, lugha, na watu. Katika Kristo tu viumbe wapya; ubainishi wa rangi, tamaduni, elimu, na taifa, na tofauti …

Soma zaidi
15

Ubatizo

Kwa njia ya ubatizo tunakiri imani yetu katika kifo na ufufuo wa Yesu Kristo, na kushuhudia kufia kwetu dhambi na kusudi letu la kuenenda katika upya wa maisha. Hivyo tunamkubali Kristo kuw…

Soma zaidi
16

Meza ya Bwana

Meza ya Bwana ni ushirika katika mfano wa mwili na damu ya Yesu kama udhihirisho wa imani katika yeye, Bwana na Mwokozi wetu, katika uzoefu huu wa ushirika Kristo anakuwepo kukutana na kuwa…

Soma zaidi
17

Karama za Roho na Huduma

Mungu huwakirimia washirki wote wa kanisa lake katika kila kizazi karama za kiroho ambazo kila mshiriki atatumia katika huduma ya upendo kwa ajili ya mema ya kawaida ya kanisa na ya wanadam…

Soma zaidi
18

Karama ya Unabii

Mojawapo ya karama za Roho Mtakatifu ni unabii. Karama hii ni alama – kitambulishi cha kanisa la masalio na ilidhihirishwa katika huduma ya Ellen G White. Kama mjumbe wa Bwana, maandishi ya…

Soma zaidi
19

Sheria ya Mungu

Kanuni kuu za sheria ya Mungu zimetiwa pamoja katika amri kumi na mfano wake ulidhihirishwa katika maisha ya Kristo. Nazo zinadhihirisha upendo wa Mungu, mapenzi yake, na makusudi yake kuhu…

Soma zaidi
20

Sabato

Muumbaji mkarimu, baada ya siku sita za uumbaji, alipumzika siku ya saba na kuanzisha Sabato kwa ajili ya watu wote kama kumbukumbu ya uumbaji. Amri ya nne ya sheria za Mungu zisizobadilika…

Soma zaidi
21

Uwakili

Sisi tu mawakili wa Mungu, tuliokabidhiwa na yeye wakati na fursa, uwezo, na mali, na mibaraka ya dunia na rasilimali zake. Tunawajibika kwake kwa matumizi yake sahihi. Tunakiri umilikaji w…

Soma zaidi
22

Mwenendo wa Kikristo

Tumeitwa kuwa watauwa wanaofikiri, kujisikia, na kutenda kulingana na kanuni za mbinguni. Ili Roho aumbe upya ndani yetu tabia ya Bwana wetu tunajihusisha tu katika mambo yale ambayo yataza…

Soma zaidi
23

Ndoa na Familia

Ndoa ilianzishwa na Mungu katika Edeni na ikathibitishwa na Yesu kuwa muungano wa maisha yote kati ya mwanamume na mwanamke katika wenzi wenye upendo. Kwa Mkristo kifungo cha ndoa ni kwa Mu…

Soma zaidi
24

Huduma ya Kristo katika Hekalu la Mbinguni

Kuna hekalu mbinguni, hema la kweli lililosimamishwa na Bwana na siyo mwanadamu. Ndani yake Kristo anahudumu kwa niaba yetu, akiwezesha kupatikana kwa ajili ya waumini fanaka za kafara yake…

Soma zaidi
25

Kuja kwa Kristo mara ya pili

Kuja kwa Kristo mara ya pili ndilo tumaini lenye baraka la kanisa, hitimisho kuu la injili. Kuja kwa Mwokozi kutakuwa halisi, binafsi, kutakakoonekana, na kwa dunia nzima. Atakaporudi, weny…

Soma zaidi
26

Mauti na Ufufuo

Mshahara wa dhambi ni mauti. Lakini Mungu, ambaye peke yake hapatwi na mauti, atawapa uzima wa milele waliokombolewa wake. Mpaka siku hiyo mauti ni hali ya kutokuwa na fahamu kwa watu wote.…

Soma zaidi
27

Milenia (miaka elfu) na mwisho wa dhambi

Milenia ni miaka elfu moja ya utawala wa Kristo pamoja na watakatifu wake mbinguni kati ya ufufuo wa kwanza na wa pili. Wakati huo waovu waliokufa watahukumiwa; dunia itakuwa ukiwa na utupu…

Soma zaidi
28

Dunia mpya

Katika dunia mpya, ambamo haki hukaa, Mungu ataweka tayari makao ya milele kwa waliokombolewa na mazingira makamilifu kwa maisha ya milele, upendo, furaha na kujifunza mbele zake. Kwa kuwa …

Soma zaidi

Unahitaji ufafanuzi zaidi wa imani hizi?

Wasiliana na Mbuyuni SDA Church kwa maelezo zaidi, masomo ya Biblia, maombi au ushauri wa kiroho.